Kiungo huyo raia wa Zambia, aliyetoa mchangomkubwakwaSimbakufikisharobo fainaliyaLigiyaMabingwaAfrikamsimuwa 2018/19, ikiwamo kutwaa ubingwa wa LigiKuuTanzaniaBarakwa misimumitatu mfululizo, awali ilidaiwa alikuwa yupo katika hatuayamwishoyakujiunganaYanga.
IMEFICHUKA kuwa wachezaji waandamizi wa Real Madrid walikaa kikao na Zinedine Zidane kumwambia wachezaji anaopaswa kuwapanga na ndiyo maana timu hiyo imeshinda...
CHRISTOPHER MSEKENA
MWANAMUZIKI na bosi wa JDart Nation, JDart, amesema miongoni mwa mipango yake kwa mwaka 2021 ni kuhakikisha lebo hiyo inakuwa kubwa barani Afrika na kusaidia vipaji mbalimbali.
JDart mwenye...
NA MOHAMED KASSARA
KATIKA kuhakikisha Simba inafanya vizuri katika michuano ya Afrika, Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi wa klabu hiyo, Mohammed Dewji ‘MO’, ameagiza kifaa cha kufuatilia mienendo ya wachezaji kinachofahamika kama GPS.
NA WINFRIDA MTOI
MWENYEKITI wa Bodi ya Wakurugenzi Simba, Mohammed Dewji ‘Mo’, amesema kuwa watarajia kuvunja rekodi zote katika kilele cha tamasha la klabu hiyo, maarufu Simba Day litakalofanyika kesho kwenye Uwanja wa Benjamini...
NA JESSCA NANGAWE
WINGA wa Yanga, Juma Mahadhi, amesema yupo fiti kurejea dimbani pindi Ligi Kuu Tanzania Bara itakaporejea baada ya kukaa nje misimu miwili mfululizo.
Mahadhi ambaye alipata majeraha ya...
DORTMUND, Ujerumani
NI LEO pale Signal Iduna Park, ambako wenyeji wa uwanja huo, Borussia Dortmund, watawakaribisha vigogo wa Bundesliga, Bayern Munich, ukiwa ni mchezo wa 28 kwa kila timu msimu huu.
MANCHESTER, England
MANCHESTER United wapo tayari kukaa chini, kuanza maongezi ya mkataba mpya na beki wao Eric Bailly ambaye kandarasi yake inamalizika msimu ujao.
Beki huyo raia wa Ivory Coast alikuwa...
CATALUNYA, Hispania
BEKI wa Barcelona, Samuel Umtiti amewashangaa wanaosema alikuwa anataka kujiunga na kikosi cha Arsenal msimu huu.
Inadaiwa beki huyo wa kimataifa wa Ufaransa alihusishwa na Arsenal kabla hawajamsajili David...
LONDON, England
KWA mechi alizocheza hadi sasa ndani ya Ligi Kuu England, kiungo wa Real Madrid anayecheza kwa mkopo katika kikosi cha Arsenal, Dani Ceballos, amefunguka, akisema hajaona timu hatari zaidi ya wakali wa...
MANCHESTER, England
ALIYEKUWA nahodha wa Manchester City, Vincent Kompany, anaamini beki wa kati wa timu hiyo, John Stones, ni mmoja kati ya wachezaji wenye viwango vya juu, hivyo amemtaka kuwaziba midomo wanaomponda.
MUNICH, Ujerumani
MAMBO yamezidi kumnyookea straika wa RB Leipzig, Timo Werner ambaye anahusishwa kutakiwa na vigogo wa soka Ulaya kama Real Madrid, Manchester United, Barcelona na Liverpool.
Straika huyo mwenye umri...
IMEFICHUKA kuwa wachezaji waandamizi wa Real Madrid walikaa kikao na Zinedine Zidane kumwambia wachezaji anaopaswa kuwapanga na ndiyo maana timu hiyo imeshinda...